Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, June 20, 2010

MWANAIDI HASSAN NDIYE MWANAMICHEZO BORA 2009

MWANAIDI HASSAN NDIYE MWANAMICHEZO BORA 2009

Mwanaidi Hassan,akilia kilio cha furaha na kutoamini alipotangazwa kuwa Mwanamichezo Bora nchini Tanzania kwa mwaka uliopita wa 2009.Mwanaidi anacheza mchezo wa Netball.Anachezea timu ya JKT Mbweni na Timu ya Taifa ya Netball.Utoaji wa tuzo hizo ulifanyikia New Africa Hotel jijini Dar-es-salaam.

Mwanaidi Hassan(katikati) akikabidhiwa Tuzo ya Uanamichezo Bora na kitita cha shilingi Milioni Moja(1m Tshs).Anayemkabidhi ni Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Tanzania(BMT),Kanali Iddi Kipingu.Wanaoshuhudia pembeni,kutoka kulia kwenda kushoto ni David Nyombo,aliyechukua Ushindi wa Tatu kupitia mchezo wa kunyanyua vyuma vizito(body building),Juma Kaseja,aliyechukua ushindi wa pili kupitia mchezo wa Soka.Kaseja ni golikipa wa Simba Sports Club ya jijini Dar-es-salaam.Mwingine pichani ni Mwenyekiti wa Chama Cha Waandishi wa Habari za Michezo(TASWA),Boniface Wambura.TASWA ndio waandaji wa tuzo hizo.

Juma Kaseja(kulia) akipokea Tuzo ya ushindi wa pili.Kaseja, golikipa nambari moja wa Simba.Anayemkabidhi ni Jaji Mark Bomani,Mwenyekiti wa Bodi wa Kampuni ya Serengeti ambao ndio wadhamini wakuu wa tuzo hizo.

David Nyombo,mnyanyua vyuma vizito,akikabidhiwa tuzo yake ya ushindi wa tatu.

Washindi wakiwa katika picha ya pamoja na wadhamini na wadau wa TASWA.

Picha zote na Richard Mwaikenda.

NANI ATAIBUKA MWANAMICHEZO BORA?

Posted: 18 Jun 2010 09:59 AM PDT

CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), leo kinatarajiwa kumtangaza mwanamichezo bora wa mwaka jana(2009) baada ya zoezi la kuwapigia kura wanamichezo waliofanya vema katika mwaka huo kukamilika jana.

Wanamichezo waliofanikiwa kuingia katika hatua ya fainali ni kipa mahiri wa Simba, Juma Kaseja, mfungaji mahiri wa timu ya netiboli ya Jeshi Stars, Mwanaidi Hassan na mtunisha misuli, David Nyombo. Kwa undani zaidi wa habarii hii bonyeza hapa.

David Nyombo

Juma Kaseja

No comments :

Post a Comment