Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, July 2, 2011

MAFUNZO YA NGUMI YANAENDELEA KAMBI YA ILALA


Kocha wa Mchezo wa ngumi Habibu KInyogoli (kushoto) akiwaelekeza
babondia Rashidi Mhamila, YOhana Robart na Omari Bai jinsi ya
kupishana na kumi pamoja na kupiga wakati wa mazoezi ya kambi ya Ilala
yanayofanyika Amana CCM

Kocha wa Mchezo wa ngumi Habibu KInyogoli (kushoto) akimwonesha jinsi
ya kupiga tumbo bondia Yohana Robart wakati wa mazoezi ya kambi ya
Ilala yanayoendelea katika ukumbi wa Amana CCM DAr es Salaam Robart
anajiandaa na mpambano na Rashidi Ally utakaofanyika jumamosi ya Julay
9

No comments :

Post a Comment