Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, July 1, 2011

Senior Bachelor kufunga pazia la wiki ya maonyesho ya filamu














Filamu ya Senior Bachelor imepangwa kufunga pazia la wiki ya maonyesho ya wazi ya filamu yanayoendelea katika viwanja ya Tangamano Mjini Tanga. Filamu hiyo ambayo itaonyeshwa jumaamosi hii katika Tamasha la Grand Malt la wazi la filamu linaloendelea viwanjani hapo imeongozwa na Single Mtambalike(RICHIE) na production manager ni Suleiman Said Barafu. Akiongea nasi Musa Kissoki Mkurugenzi wa Sofia Production waandaaji wa Tamasha hilo amesema anaamini filamu itasisimua wengi kwenye maonyesho hayo hasa kutokana na uigizaji wake. "JB ni moja ya waigizaji wenye mbwembwe sana, hivyo hii imetoka kuwa moja ya kazi zake nzuri ambazo tutazionyesha katika tamasha hili la GrandMalt la wazi la filamu Tanzanial. MUIGIZAJI wa filamu hiyo Jacob Stiven maarufu kama JB amejizolea umaarufu kutokana na filamu hiyo hadi kupelekea kupachikwa jina la Erick Ford alilotumia katika muvi hiyo; Senior Bachelor ni moja ya filamu pendwa kuonyeshwa katika Tamasha hili JB anatarajiwa kuwepo mjini Tanga kufungua filamu hiyo katika hadhara kwa ajili ya maonyesho yake.

No comments :

Post a Comment