Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, July 9, 2011

Show kali ya Jahazi na wasanii wa BongoFleva kurindima Julai 10, Trava...!



Mzee Yusufu akikisakata Kiduku sambamba na vijana wake


Wasanii wa Muziki wa Kizazi kipya waliothibitishwa kutumbuiza mashabiki wa Taarabu ktk usiku huo ni pamoja na Barnaba, Bob Junior na Dullayo

Barnaba mzee wa Kubembelaza atakuwepo

Dullayo mkali aliyeimba 'Twende na mimi' atakuwepo

Bob Junior mzee wa OYOYO, Raisi wa wasafi, raisi wa Watanashati aka President wa Sharobaro nae atakuwepo

Mzee Yusufu atasindikizwa na Babu Ayubu akiwa na jisongi lake kali la Loliondo na Chaja ya Kobe.

Sio Usiku wa Kuukosa huu mdau, kwa kiingilio cha Tshs. 5000/= tu

No comments :

Post a Comment