Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, July 2, 2011

SHEIKH YAHAYA HUSEIN AFANYIWA 40 YA KUFA KWAKE LEO


Sheikh, Mkuu, Mufti Issa Shaaban Simba (kushoto) na Sheikh wa mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum wakisikiliza qllhan zilizokuwa zikisomwa na Masheikh wa nje na ndani ya mipaka ya Tanzania wakati wa duwa ya alobaini kumuombea aliyekuwa mtabiri maarufu Afrika Mashariki, Sheikh Yahaya Hussein
Dr Emad Rabee Ahmad Mohamed kutoka chuo cha kiislam Egypt akisoma wakati wa alobaini ya kumuombea aliyekuwa mtabiri wa Afrika Mashariki Sheikh Yahaya Hussein kushoto ni Dr Ahmad Mahmood Abdellateef wa tatu kutoka kulia ni Mwenyekiti wa ISTIQAAMA MUSLIM COMMUNITY NCHINI Saleh Omar Saleh,Usamah Mahmood Ismail na Motamed Gomaa Mursiy

No comments :

Post a Comment