Msimamizi mkuu wa huduma kwa wateja wa Tigo katika maonyesho ya Sabasaba, Boaz Ikupilika (kulia) akiongea na waandishi wa habari juu ya huduma mbalimbali zinazotolewa na Tigo katika maonyesho hayo ya 35 ya biashara yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Afisa Uhusiano wa Tigo Jackson Mmbando.
WHERE HUMANITY BEGINS ,WONDER ENDURES
-
Some places are admired for their beauty. Others are remembered for the
stories they hold. Ngorongoro is both. Addressing the 48th Session of the
UNES...
1 day ago
No comments :
Post a Comment