Msimamizi mkuu wa huduma kwa wateja wa Tigo katika maonyesho ya Sabasaba, Boaz Ikupilika (kulia) akiongea na waandishi wa habari juu ya huduma mbalimbali zinazotolewa na Tigo katika maonyesho hayo ya 35 ya biashara yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Afisa Uhusiano wa Tigo Jackson Mmbando.
MTANZANIA AULA M4FOFA
-
Mtanzania ameteuliwa kuwa Mjumbe wa Bodi ya Shirika la The Movement for
the Federation of East Africa (M4FOEA)
Shirika hili ni Muunganiko wa nchinan...
17 hours ago
No comments :
Post a Comment