Msimamizi mkuu wa huduma kwa wateja wa Tigo katika maonyesho ya Sabasaba, Boaz Ikupilika (kulia) akiongea na waandishi wa habari juu ya huduma mbalimbali zinazotolewa na Tigo katika maonyesho hayo ya 35 ya biashara yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Afisa Uhusiano wa Tigo Jackson Mmbando.
MIMEA VAMIZI NI TISHIO KWA IKOLOJIA YA HIFADHI ZETU, BALOZI POLEPOLE
-
Balozi wa Tanzania nchini Cuba Mhe. Humprey Polepole amesema uwepo wa mimea
vamizi katika maeneo yaliyohifadhiwa inaathiri na kubadilisha ikolojia ya
mae...
1 day ago
No comments :
Post a Comment