Msimamizi mkuu wa huduma kwa wateja wa Tigo katika maonyesho ya Sabasaba, Boaz Ikupilika (kulia) akiongea na waandishi wa habari juu ya huduma mbalimbali zinazotolewa na Tigo katika maonyesho hayo ya 35 ya biashara yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Afisa Uhusiano wa Tigo Jackson Mmbando.
CHALINZE WAHAMASISHWA KUTUMIA VEMA TEHAMA
-
Mkurugenzi Msaidizi Sera Utafiti na Ubunifu TAMISEMI Lemmy Shumbusho
ametoa wito kwa washiriki wa mafunzo ambao ni Viongozi Waandamizi na Wakuu
wa Ida...
8 hours ago
No comments :
Post a Comment