Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, July 2, 2011

Zantel yaja na EPIQ Nation kwa vijana ndani ya Sabasaba



Miongoni mwa makampuni ya simu yaliyopo ndani ya Viwanja vya Maonesho ya 35 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam ni Kampuni ya Simu ya Zantel ambao mwaka huu wanakuja na bidhaa mopya kabisa ya Epiq Nation ambayo ni maalum kwa vijana.
Baadhi ya warembo waliopo katika viwanja vya Zantel kupamba banda hilo ndani ya maonesho. Ni warembo wa Ukweli.
Christabela Bushiri (kulia) na Avitha Jonathan wakila pozi nje ya banda hilo.
Vijana wa kazi waliopo katika banda la Zantel ndani ya maonesho ya Kimataifa ya Biashara. Kutoka kushoto ni Abubakar Ally, Christabela Bushir, Avitha Jonathan na Cescil Mhina wakiwa katika ufukwe wao ndani ya banda. Vijana hawa kwa pamoja wanawakilisha EPIQ NATION ambayo ni bidhaa mpya kwaajili ya vijana.
Abubakar Ally na Avitha Jonathan wakimsikiliza mteja.
Abdalah Khamisi akitoa huduma kwa baadhi ya wateja waliongia katika banda hilo.

No comments :

Post a Comment