Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, July 21, 2011

Mafunzo ya walimu wa awali yaliyotolewa na kampuni ya uchapishaji wa vitabu nchini ya Long man





Baadhi ya Walimu kutoka jijini Dar es Salaam waliohudhulia mafunzo ya siku tatu ya Uwezeshaji wa Walimu wa awali wa shule za Msingi yanayoendelea katika Taasisi ya Elimu Tanzania wakijifunza kwa vitendo Mafunzo hayo yamedhaminiwa na kampuni ya uchapishaji wa vitabu nchi ya Pearson Long Man


Baadhi ya Walimu kutoka jijini Dar es Salaam waliohudhulia mafunzo ya siku tatu ya Uwezeshaji wa Walimu wa awali wa shule za Msingi yanayoendelea katika Taasisi ya Elimu Tanzania wakijifunza kwa vitendo Mafunzo hayo yamedhaminiwa na kampuni ya uchapishaji wa vitabu nchi ya Pearson Long Man

.Mmoja wa Walimu kati ya 90 waliohudhuria mafunzo ya siku tatu ya Uwezeshaji wa walimu wa shule za msingi jijini Dar es Salaam,Getruda John kushoto akimwonyesha Mratibu wa Elimu ya Awali Clarence Mwinuka wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi wa pili kulia ni fisa mwandamizi wa Mauzo na Masoko wa kampuni ya Long Man,Belinda Mafuru mafundho hayo yamedhaminiwa na Kampuni ya Uchapishaji wa vitabu nchini ya Pearson Long Man.

Mwalimu wa Shule ya Msingi ya Upendp iliyopo Mbezi jijini Dar es Salaam wapili (kulia) akijibu swali wakati wa mafunzo ya uwezeshaji wa Walimu ,kutoka kwa Muwezeshaji wa Kampuni ya Pearson Long Man Tanzania inayojihusisha na uchapaji wa Vitabu vya shule za awali na vyuo nchini, Maria Ellokelo, ali yeshika karatasi kushoto ni Ofisa Mauzo wa Long Man Salama Hamza na Mwalimu wa Shule ya Mkamba ya Temeke Jayneth Gideon


No comments :

Post a Comment