Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, July 6, 2011

REDDS KUANDAA BONANZA LA WAREMBO NA WANAHABARI WANAWAKE

Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Fimbo Butallah (kulia) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam, kuhusu maandalizi ya bonanza la michezo litakalowashirikisha warembo watakaoshiriki Redd's Miss Temeke, Ilala na Kinondoni pamoja na waandishi wa habari za michezo wanawake, Jumamosi, kwenye ufukwe wa mbalambweni, Dar es Salaam. Kutoka kushoto ni Mratibu wa Miss Ilala, Jackson Kalikumtima na Boi George ambaye ni mratibu wa Miss Kinondoni.

No comments :

Post a Comment