Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, July 2, 2011

NDC nao wapo katika maonesho ya Sabasaba



Shirika la Taifa la Maendeleo nalo ni miongoni mwa mashirika yaliyopo katika viwanja vya Maonesho ya 35 ya Biashara ya Kimataifa yanayo endelea katika Viwanja vya Maonesho vya Mwalimu Julius Nyerere barabara ya Kilwa Dar es Salaam.
Hawa ni baadhi tu ya staff wa NDC wanaotoa huduma ndani ya maonesho hayo katika banda lao ambali lipo mkono wako wa kulia mara tu ukiingia katika lango kuu.
Pia katika banda la NDC ipo kapuni ya ETG na pivchani ni Banwari Jhawar ambaye ni Mratibu wa Agro Input akielezea bidhaa mbalimbali wanazoaiza hasa katika kuhamasiha Kilimo Kwanza.
Kampuni ya ETC Agro wakiwa na matrecta yao ya Mahindra nao ni wadau wa NDC na wapo katika banda hilo.
Ofisa Mawasiliano Mwandamizi wa NDC Neema Mbuja akionesha Kaa la Mawe ambalo ni moja ya bidhaa inayo zalishwa na moja ya makampuni yaliyochini ya NDC.

No comments :

Post a Comment