Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, January 12, 2012

BETHDEI YA CONSOLATHA MAHANGA YAFANA



Mishumaa iliyopo kwenye keki iliyoandaliwa maalumu kwa Mtoto Consolatha Mahanga, ikiwashwa ikiwa ni ishara ya mtoto huyo kuadhimisha miaka 14 ya kuzaliwa kwake. Hafla hiyo ilifanyika katika Mgahawa wa Breakpoint, katikati ya Jiji la Dar es Salaam.

Consolatha 'CONSO' akikata keki wakati hafla ya kuadmidha kumbukumbu ya kutimiza miaka 14 ya kuzaliwa kwake

Conso akisaidiwa na dadake, Happy (kushoto) pamoja na mdogo wake Upendo kukata keki


Dada Grace Michael ambaye ni mwanafamilia wa karibu akilishwa keki na Conso

Conso akilishwa keki na dadake Happy

Sasa ni wakati wa kujichana msosi
Conso akilishwa keki na Irene Mark ambaye ni rafiki wa karibu wa Grace Michael
Ilikuwa ni furaha ya aina yake

Mwanafamilia Grace Michael akimnywesha juisi Conso
Walipata wasaa pia wa kutembelea Jumba la kibiashara la Quality Centre, lililopo Barabara ya Nyerere, jijini Dar es Salaam.

No comments :

Post a Comment