Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, January 29, 2012

MAKAMU WA RAIS NA WAZIRI MKUU KATIKA MKUTANO WA MUUNGANO NA SENSA


Makamu wa Rais Dkt, Mohammed Gharib Bilal, Waziri mkuu, Mizengo Pinda na makamu wa Pili wa rais wa Zanzibar, Balozi Seif Iddi wakitoka kwenye ukumbi wa Hoteli ya Blue Pearl- Ubungo Plaza jijini Dar es salaam Januari 28, 2012 kuhudhuria kakao cha kujadili Muungano (picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiongoza kikao cha kujadili maandalizi ya sensa kilichofanyika Ofisini kwake jijini Dar es salaam, Januari 28, 2012. Wanne kulia ni Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Iddi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments :

Post a Comment