Mchezaji wa timu ya Bunge, Sadifa Juma akimtoka Fatuma Haibu wa Twiga Stars katika mchezo wa kirafiki jana kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam ambapo Wabunge waliichangia Twiga, sh. mil 3. Katika mchezo huo Twiga ilishinda mabao 2-1.
BALOZI MATINYI AHIMIZA WAFANYA BIASHARA KUSHIRIKI MAONESHO ALGERIA
-
Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi, akipatiwa maelezo
ya namna kampuni ya Riad Hanieth Food Supplies ya Jordan yenye tawi lake
nchi...
3 days ago
No comments :
Post a Comment