Mchezaji wa timu ya Bunge, Sadifa Juma akimtoka Fatuma Haibu wa Twiga Stars katika mchezo wa kirafiki jana kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam ambapo Wabunge waliichangia Twiga, sh. mil 3. Katika mchezo huo Twiga ilishinda mabao 2-1.
CCM YATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA ASKOFU MKUU RUWA’ICHI KUFUATIA KIFO CHA
KADINALI PENGO
-
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa salamu za rambirambi kwa Askofu Mkuu wa
Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Jude Thaddeus Ruwa’ichi
OFMCap...
12 hours ago
No comments :
Post a Comment