Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, January 26, 2012

TWIGA STARS YAIKUNG'UTA BUNGE 2-1



Mchezaji wa timu ya Bunge, Sadifa Juma akimtoka Fatuma Haibu wa Twiga Stars katika mchezo wa kirafiki jana kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam ambapo Wabunge waliichangia Twiga, sh. mil 3. Katika mchezo huo Twiga ilishinda mabao 2-1.
Kikosi mchanganyiko cha timu ya Bunge
Kikosi cha timu ya wanawake ya soka ya Twiga Stars kilichochuana na timu ya Bunge
Twiga Stars ikifanya mazoezi
Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, William Nchimbi na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba (katikati) wakishuhudia mchezo

No comments :

Post a Comment