Mwenyekiti wa Victoria Foundation Mh. Bi. Vick Kamata yuko Geita kwa wananchi wake kama anavyoonekana pichani akikabidhi baiskeli kwa walemavu 30 wa tarafa ya Bugando wilaya ya Geita mkoa mpya wa Geita. Hizi ni moja ya juhudi za mbunge huyo kwa wananchi wake katika kusaidia kuondoa matatizo yanayowakabili watu wenye ulemavu wa viungo ambao wamekuwa wakikabiliwa na matatizo mengi ukiwemo usafiri kama hizi baiskeli zitakazowasaidia kwenda hapa na pale na kuendelea na shughuli zao. Hapa anaonekana akifurahia jambo na mmojwa wa walemavu waliokabidhiwa baiskeli hizo na mbunge huyo.
MIMEA VAMIZI NI TISHIO KWA IKOLOJIA YA HIFADHI ZETU, BALOZI POLEPOLE
-
Balozi wa Tanzania nchini Cuba Mhe. Humprey Polepole amesema uwepo wa mimea
vamizi katika maeneo yaliyohifadhiwa inaathiri na kubadilisha ikolojia ya
mae...
1 day ago
No comments :
Post a Comment