Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, January 3, 2012

STAR MEDIA WAUAGA MWAKA 2011 NA KUUKARIBISHA 2012 KWA SHEREHE.


wafanyakazi waliofanya vyema katika kipindi cha mwaka 2011 walitunukiwa vyeti vya pongezi
mambo ya misosi yalikuwa kamili na watu walikula na kusaza.
Meneja Mkuu wa Biashara wa TBC, Joe Rugalabamu akitoa neon la shukrani kwa niaba ya mwenyekiti wa bodi ya Sart Media Clement Mshana.
Naibu Mkurugenzi wa Utangazaji wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCR), Fredrick Ntobi, akitoa neon la shukrani kutoka TCRA.
Ofisa Mtemndaji Mkuu wa Star Media (T)Ltd…..akifungua shampein kwaajili ya kupongezana na wafanyakazi wa kampuni hiyo jijini Dar es salaam hivi karibu. Tafrioja hiyo ilifanyika katika ukumbi wa New Msasani Beach Club Dar es Salaam na kuwahusisha wafanyakazi na familia zao

No comments :

Post a Comment