Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, January 12, 2012

VISIWA VYA PEMBA NA UNGUJA KUADHIMISHA MIAKA 48 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR YALIYOTOKEA 1964



Watanzania kote nchini kesho wanaungana na wananchi wa visiwa vya Unguja na Pemba kuadhimisha miaka 48 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyotokea mwaka 1964. Maadhimisho hayo yanafikia kilele chake baada yakifuatiwa na sherehe mbalimbali zilizofanywa na taasisi mbalimbali visiwani humo ili kuadhimisha mapinduzi hayo yaliyoondoa utawala wa Kisultani.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein anatarajiwa kuongoza maadhimisho hayo ambapo viongozi mbalimbali wa ndani na nje yak nchi ikiwemo wa vyama vya siasa wanatarajiwa kuhudhuria katika maadhimisho hayo.

No comments :

Post a Comment