Evance ambae anaratibu website ya www.elimubora.com akiwa anapokea cheti baada ya kuhitimu kozi fupi nchini India. Amewataka watanzania hususan wadau wa masuala ya IT kufuatilia udhamini mbalimbali wa kozi fupi utolewao na chuo hicho kwa taarifa zaidi ingia katika libeneke lake la www.elimubora.com
MIMEA VAMIZI NI TISHIO KWA IKOLOJIA YA HIFADHI ZETU, BALOZI POLEPOLE
-
Balozi wa Tanzania nchini Cuba Mhe. Humprey Polepole amesema uwepo wa mimea
vamizi katika maeneo yaliyohifadhiwa inaathiri na kubadilisha ikolojia ya
mae...
1 day ago
No comments :
Post a Comment