Katibu
wa Mbogwe Group, Shukuru Mihayo, (Kushoto), akimkabidhi vifaa vya
michezo, Mwenyekiti wa Temeke Jogging, Musa Mtulya, vikiwa ni maalumu
kwa ajili ya timu ya watoto ya soka ya Mbogwe, ikiwa ni moja ya juhudi
za kukuza vipaji vya watoto, katika hafla iliuofanyika Mbogwe Pub,
Kurasini jijini Dar es Salaam jana. Wanaoshuhudia kutoka kushoto ni
Chichi Somboko, Kocha wa timu hiyo, Doto Ramadhani na Christopher Nathaniel ambaye ni Katibu wa Temeke Jogging.
Version Conflict: Version Conflict: Version Conflict: Version Conflict:
Version Conflict: Version Conflict: PAPA FRANSISCO AMEFARIKI DUNIA
-
BREAKING NEWS:
Papa Fransisco amefariki saa 19:36 kutoka Vatican.
Papa Fransisco amefariki saa 19:36 kutoka Vatican.
Pumzika kwa amani 1936-2025.
20 hours ago
No comments :
Post a Comment