Katibu
wa Mbogwe Group, Shukuru Mihayo, (Kushoto), akimkabidhi vifaa vya
michezo, Mwenyekiti wa Temeke Jogging, Musa Mtulya, vikiwa ni maalumu
kwa ajili ya timu ya watoto ya soka ya Mbogwe, ikiwa ni moja ya juhudi
za kukuza vipaji vya watoto, katika hafla iliuofanyika Mbogwe Pub,
Kurasini jijini Dar es Salaam jana. Wanaoshuhudia kutoka kushoto ni
Chichi Somboko, Kocha wa timu hiyo, Doto Ramadhani na Christopher Nathaniel ambaye ni Katibu wa Temeke Jogging.
BANGO LA OSHA LIKIKOSEKANA OFISINI KWAKO TOA TAARIFA
-
Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafangakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini
Nyamhokya amewataka wafanyakazi kutoa taarifa iwapo wataona ofisi zao
hazina tanga...
1 day ago
No comments :
Post a Comment