Mkubwa hali vipi? Hebu nitolee kwenye blog yako picha ya huyu Mbu wa Ajabu ambaye nimemkuta leo ndani kwangu. Ana features zote za Mbu ila mabawa yake na rangi imenistua kidogo. Naomba uniwekee kwenye blogs ili wadau watuhabarishe huyu ni mbu wa jamii gani na analeta madhara gani kwa jamii au siyo mbu ni mdudu tuu? Utaniwia radhi Quality ya picha inaweza kuwa siyo nzuri sana kwa sababu nimetumia simu yangu ya mkononi. |
ZOEZI LA USAMBAZAJI VITABU VYA KIDATO CHA TANO (MTAALA ULIOBORESHWA) NA CHA
SITA LIMEANZA RASMI.
-
Zoezi la usambazaji vitabu vya kidato cha tano (Mtaala ulioboreshwa) na cha
sita kwa shule za Serikali limeanza rasmi leo Juni 24, 2025 katika ghala la
T...
2 hours ago
No comments :
Post a Comment