Rais Dkt.Jakaya
Mrisho Kikwete,Kamishna wa Maendeleo katika Jumuiya ya Ulaya Andris
Piebalgs(wapili kushoto), balozi wa jumuiya ya ulaya nchini Cerian Philberto
Sebregondi(kushoto),Balozi wa Ujerumani nchini Klaus Peter Brandes na Waziri wa
Maji Profesa Jumanne Maghembe wakikata utepe kuzindua rasmi mradi wa maji safi
na mazingira Mjini Mbeya leo mchana.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete,Kamishna wa Maendeleo
Jumuiya ya Ulaya Andris Piebalgs(Watau kushoto) na Waziri wa Maji Profesa
JumANNE Maghembe wakikagua chanzo cha
maji eneo la Swaya mjini Mbeya wakati wa uzinduzi wa mradi maji safi na mazingira
mjni humo leo mchana.
NGORONGORO KIVUTIO CHA UTALII KILICHOTEMBELEWA ZAIDI MWAKA 2025.
-
Eneo la hifadhi ya Ngorongoro limetajwa kuwa ndio kivutio namba moja
kilichotembelewa zaidi na watalii kwa mwaka 2025 ambapo watalii 859,933
walitembe...
5 hours ago
No comments :
Post a Comment