Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiwa katika mazungumzo na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa
aliyemaliza muda wake, Asha-Rosre Migiro, wakati alipofika Ofisini kwake
Ikulu jijini Dar es Salaam, leo kwa ajili ya kushukuru baada ya
kumaliza muda wake wa kazi katika Shirika hilo la Kimataifa UN.
JARIBIO LA KWANZA LA ZAO LA VIAZI MVIRINGO MKOANI DODOMA LAONYESHA
MAFANIKIO MAKUBWA
-
Dodoma
Jaribio la kwanza la Mbegu ya viazi mviringo lililotafitiwa na Taasisi ya
Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) limeonesha mafanikio makubwa mkoani
D...
17 hours ago

No comments :
Post a Comment