Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiwa katika mazungumzo na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa
aliyemaliza muda wake, Asha-Rosre Migiro, wakati alipofika Ofisini kwake
Ikulu jijini Dar es Salaam, leo kwa ajili ya kushukuru baada ya
kumaliza muda wake wa kazi katika Shirika hilo la Kimataifa UN.
WAMERUDI NYUMBANI BINADAMU ALIPOANZIA
-
Na Mwandishi wetu, Ngorongoro
Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa CRDB Bank Plc kutoka mataifa ya Burundi,
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Falme za Kiar...
1 day ago

No comments :
Post a Comment