Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiwa katika mazungumzo na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa
aliyemaliza muda wake, Asha-Rosre Migiro, wakati alipofika Ofisini kwake
Ikulu jijini Dar es Salaam, leo kwa ajili ya kushukuru baada ya
kumaliza muda wake wa kazi katika Shirika hilo la Kimataifa UN.
MSEMO WA WAMAKONDE, KILA MUNU AVE NA KWAO WATUA SWEDEN
-
Bendi ya muziki ya Tongolanga iliwahi kuimba “kila munu ave na kwao
”ikimaanisha kila mtu awe na kwao, ujumbe kutoka Mamlaka ya Hifadhi ya
Ngorongoro ...
9 hours ago

No comments :
Post a Comment