Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, July 31, 2012

MKURUGENZI MWANAHALISI AILALAMIKIA SERIKALI BAADA YA KUFUNGIA GAZETI LAKE




 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Hali halisi , inayo chapisha
Gazeti la Mwana Halisi Bw, Saed Kubenea, akiongea na Waandishi wa
habari katika Ofisi za Kampuni hiyo juu ya malalamiko yake kwa
serikali kutokana na kufungiwa kwa gazeti lake la Mwana halisi jana
ambapo alilaani vikali uamuzi huo uliochukuliwa na serikali na hivyo
kuitaka serikali kufuta mara moja Tamko lake Kushoto ni Mhariri wa
Gazeti  hilo Bw, Jabir Idrissa.
(PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE)
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Kubenea
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Hali halisi , inayo chapisha
Gazeti la Mwana Halisi Bw, Saed Kubenea, akionyesha baadhi ya Magazeti
yaliyolalamikiwa na Serikali.

No comments :

Post a Comment