Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, June 15, 2013

ALEX MSAMA ATOA MSAADA KATIKA KITUO CHA YATIMA DAR



 Alex Msama akikabidhi hundi yenye thamani ya sh. milioni 1.2 kwa ajili ya kulipia ada ya wanafunzi walioshindwa kwenda shule kwa ajili ya kudaiwa ada.
 Mwenyekiti wa Tamasha la Pasaka, Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari wakati wa hafla ya kukabidhi vitu mbalimbali kwa ajili ya kituo cha kulelea watoto wanaoishi katika mazingira magumu cha Mwendaliwa. 
 Mwenyekiti wa Tamasha la Pasaka, Alex Msama akikabidhi magodoro kwa mlezi wa kituo hicho.
 Watoto wa Kituo cha Mwendalewa kilichopo Boko wakipokea msaada wa vifaa mbalimbali kwa ajili kituo hicho kutoka kwa Mwenyyekiti wa Tamasha la pasaka Alex Msama. 
 Sehemu ya msaada uliotolewa na Msama Promosheni.
 Mlezi wa Kituo cha kulelea watoto wanaoishi katika mazingira magumu cha Mwandaliwa, Halima Ramadhani akitoa shukrani kwa msaada aliopata kutoka kwa Kampuni ya Msama Prpmosheni, kwa ajili ya kituo hicho.

No comments :

Post a Comment