Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, June 22, 2013

Wateja watano wajizolea Milioni 2 kila mmoja za Cheka Nao



Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Bw.Matina Nkurlu akimpigia mmoja wa washindi miongoni ya watano waliojishindia shilingi milioni mbili  kila mmoja kwenye droo kubwa ya Promosheni ya Cheka Nao,inayowezesha  wateja kuongea na mitandao yote bila mipaka kwa bei nafuu. Ili kujiunga mteja anatakiwa kupiga *149*01#.wanaoshuhudia   ni Meneja wa Idara ya Malipo ya Kabla wa kampuni hiyo, Yvonne Maruma (kati kati)pamoja na  Ofisa wa bodi ya michezo ya kubahatisha Tanzania Bi.Chiku Saleh.
     HAWA NDIYO WASHINDI WA PROMOSHENI YA CHEKA NAO - 21/06/2013
WAMEJINYAKULIA KITITA CHA  MILIONI TSH 2,000,000 KILA MMOJA
  



JINA
UMRI
ANAKOISHI
KAZI YAKE
Majija Amos Kidara
24
Shinyanga - Kahama
Peasant
Mkude Idd
30
Msamvu - Morogoro
Peasant
Isaya Edward Sengo
35
Mbeya
Petty Trader
Alexander Vinson
33
Mbinga - Ruvuma
Peasant
Derick Charles Cosmas
25
Karagwe - Bukoba
Peasant







No comments :

Post a Comment