Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, June 21, 2013

LUIZA MBUTU KUJA NA 'MAISHA BAADA YA NDOA'





Na Elizabeth John 
BAADA ya miaka michache kutoka na wimbo wa Kuolewa, mwanamuziki Luiza Mbutu, anatarajia kuachia single nyingine ya ‘Maisha baada ya kuolewa’.
Akizungumza na Habari Mseto, Mbutu alisema anakuja na kitu hicho baada ya kupata uzoefu wa muda sasa katika maisha ya ndoa jambo litakalomfanya kuimba jambo analolijua.

Luiza Mbutu aliolewa mwaka 2000 na kwa sasa ndiye  kiongozi wa bendi ya Twanga Pepeta huku akiwa kati ya wanamuziki waliodumu katika bendi hiyo takribani miaka 12.

mwanadada huyo ni kati ya wasanii wakongwe wa bendi hiyo tamgu kuanzishwa kwa bendi hiyo.
You might also like:

No comments :

Post a Comment