Katika
harakati za kumpata mrembo wa taifa
atakayewakilisha nchi katika mashindano ya urembo ya dunia, baadhi ya
vitongoji
vya DSM vinaendelea na maandalizi ya kupata warembo wake ambapo
vitongozi wa
SINZA na KIGAMBONI vitapata warembo wake juni SABA mwaka huu Somoe
Ng'itu maribu wa Miss Kigamboni amsema shindano hilo litapambwa na bendi
ya FC Academia litafanyika Kigamboni
DKT.ABBASI AKUTANA NA MENEJIMENTI YA NGORONGORO NA KUSISITIZA UWAJIBIKAJI.
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Hassan Abbasi tarehe 18
Septemba 2025, amefanya ziara ya kikazi katika Mamlaka ya Hifadhi ya
Ngorongoro...
33 minutes ago
No comments :
Post a Comment