Katika
harakati za kumpata mrembo wa taifa
atakayewakilisha nchi katika mashindano ya urembo ya dunia, baadhi ya
vitongoji
vya DSM vinaendelea na maandalizi ya kupata warembo wake ambapo
vitongozi wa
SINZA na KIGAMBONI vitapata warembo wake juni SABA mwaka huu Somoe
Ng'itu maribu wa Miss Kigamboni amsema shindano hilo litapambwa na bendi
ya FC Academia litafanyika Kigamboni
NCAA YADHAMIRIA KUONGEZA IDADI YA WATALII WA NDANI
-
Na mwandishi wetu
Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro imedhamiria kufanya kampeni kubwa za
kuhamasisha utalii wa ndani kwa kwa mwaka wa fedha 2025/2026 kue...
1 hour ago
No comments :
Post a Comment