Katika
harakati za kumpata mrembo wa taifa
atakayewakilisha nchi katika mashindano ya urembo ya dunia, baadhi ya
vitongoji
vya DSM vinaendelea na maandalizi ya kupata warembo wake ambapo
vitongozi wa
SINZA na KIGAMBONI vitapata warembo wake juni SABA mwaka huu Somoe
Ng'itu maribu wa Miss Kigamboni amsema shindano hilo litapambwa na bendi
ya FC Academia litafanyika Kigamboni
WAANDISHI 3,357 WAPATA ITHIBATI KUPITIA MFUMO WA TAI HABARI
-
Serikali imeanza kuvuna matokeo ya mageuzi ya kidijitali katika sekta ya
habari baada ya Waandishi wa Habari 3,357 kuthibitishwa na kupatiwa
ithibati nda...
1 day ago
No comments :
Post a Comment