Katika
harakati za kumpata mrembo wa taifa
atakayewakilisha nchi katika mashindano ya urembo ya dunia, baadhi ya
vitongoji
vya DSM vinaendelea na maandalizi ya kupata warembo wake ambapo
vitongozi wa
SINZA na KIGAMBONI vitapata warembo wake juni SABA mwaka huu Somoe
Ng'itu maribu wa Miss Kigamboni amsema shindano hilo litapambwa na bendi
ya FC Academia litafanyika Kigamboni
MBETO: WABUNGE, WAWAKILISHI ACT WAZALENDO MKAMSAIDIE DKT. MWINYI
-
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
Wabunge na Wawakilishi wa Chama cha òACT Wazalendo waliopata ridhaa ya
wananchi na kuingia katika Baraza la Wawakilishi, wa...
1 hour ago
No comments :
Post a Comment