Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, June 19, 2013

BAKWATA v/s ISTIQAAMA ZATOKA SARE, SHEIKH MKUU WA MKOA WA DAR, AL-HAD MUSSA, NYOTA WA MCHEZO




 Mshambuliaji na Nahodha wa timu ya Bakwata, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Al-had Mussa Salum (kulia) akimtoka beki wa timu pinzani ya Istiqaama ya Dar es Salaam, wakati wa mchezo wa kirafiki uliochezwa kwenye Uwanja wa Dar es Salaam Zuu, Kigamboni jijini mwishoni mwa wiki iliyopita. Katika mchezo huo timu hizo zilitoka sare ya 1-1.
 Kamanda kwa Polisi wa Kanda maalum, Suleiman Kova, akizungumza na waandishi wa habari wakati wa utambulisho wa mchezo huo mwishoni mwa wiki.
 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mecky Sadick, akimkabidhi Jezi, Nahodha wa timu ya Bakwata, Sheikh Al-had Mussa, wakati wa hafla ya kukabidhiwa vifaa vya michezo kwa ajili ya mchezo huo wa kirafiki uliochezwa mwishoni mwa wiki iliyopita. Katikati ni Nahodha wa timu ya Istiqaama, Saleh Omar Saleh.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mecky Sadick, akimkabidhi Jezi, Nahodha wa timu ya Istiqaama, Saleh Omar Saleh, wakati wa hafla ya kukabidhiwa vifaa vya michezo kwa ajili ya mchezo huo wa kirafiki uliochezwa mwishoni mwa wiki iliyopita. Kushoto ni Nahodha wa timu ya Bakwata,  Sheikh Al-had Mussa,
 Sheikh Al-had Mussa, akionyesha umahiri wake wa kuchezea soka.
 Kikoso cha timu ya Bakwata

No comments :

Post a Comment