Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, June 29, 2013

MATUKIO YA PICHA KUTOKA BUNGENI


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (wapili kushkto) akizungumza na Wabunge kutoka kulia, John Cheyo Bariadi Mashariki (UDP), James Mbatia wa kuteuliwa  (NCCR Mageuzi) na Mansoor Shanif Hiran  mbunge wa Kwimba (CCM) nje ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma jana.Kushoto ni Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama.
 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka akisalimiana na Mkurugenzi wa Masama Promotion, Alex Msama nje ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma Juni 27,2013.
Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Amos Makalla (kulia) akifurahia jambo na Mbunge wa Mbeya Mjini na Waziri Kivuli wa Wizara hiyo kutoka Kambi ya Upinzani Bungeni, Joseph Mbilinyi nje ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma jana.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, Dk.Terezya Huvisa akisisitiza jambo wakati akiongea na wapigapicha za Habari nje ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma leo. Mazungumzo makubwa yalikuwa juu ya Usafi hasa jiji la Dar es Salaam. Dk. Huvisa alisema jiji sasa litakuwa safi na tayari mkakati wao umekutana na ziara ya Rais Obama wa Marekani hivyo utakuwa endelevu. KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPO CHINI

No comments :

Post a Comment