Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, June 16, 2013

LUNYAMILA, MKANDAWILE, NEMES, MWALALA, NSAJIGWA, MATOLA WAHUDHURIA KOZI YA UKOCHA


Mkufunzi wa TFF Rogasian Kaijage akiwapa maelekezo.
Lunyamila akionyesha 'DEMO'
Shadrack Nsajigwa,Selemani Matola na Mohammed Hussein 'Chinga' wakimsikiliza kwa makini mkufunzi Rogasian Kaijage.
Meneja wa Azam FC Jemedari Said pia naye yupo.
Seleman Matola mwenye jezi nyekundu,katikati ni kiungo wa zamani wa Yanga Ngade Chabanga pamoja Steven Nyenge wakiwa kwenye mafunzo ya vitendo..
Ibrahim Masoud 'Maestro' pia yupo...
Makipa wa zamani Steven Nemes,Moses Mkandawile,Shadrack Nsajigwa na Benard Mwalala.
Mshambuliaji wa zamani wa Simba Bakary Idd,Mimi mwenyewe,Matola na Mwalala.
Majina ya wanaohudhuria kozi ya ngazi ya kati (intermediate) inayofundishwa na mkufunzi Rogasian Kaijage kwenye viwanja vya Harbours Club, Kurasini.
1. Abdallah K. Mohamed
2. Abdulmalick Nemes
3. Adam Juma
4. Akida Said
5. Ally Yusuph
6. Athuman Kipao
7. Bakari Idd
8. Barton Msengi
9. Bernard Mwalala
10. Chaurembo Shomari
11. Chiwanga A. Chiwanga
12. Daniel Stephen
13. David Wiliam
14. Edgar Katembo
15. Edibily Lunyamila
16. Emanuel Gabriel
17. Fredrick Mwasombola
18. Grayson Swai
19. Hassan Msonzo
20. Herry Allen
21. Herry Kaiza
22. Ibrahim Masoud
23. Iddy Abubakari
24. James Changarawe
25. Jemaderi Said
26. Jeremia Dickson
27. Kassango Pascal
28. Medard Rwezaura
29. Mohamed Hussein
30. Moses Mkandawile
31. Mtweve Abel
32. Muhibu Kanu
33. Mwanamtwa Kihwelo
34. Nevelin Kanza
35. Ngade Chabanga
36. Omari Ally
37. Omari Kafufi
38. Omari Mbarouk
39. Omary Mohamed
40. Omega Ruzwiro
41. Rahel Pallangyo
42. Rajab Mohamed
43. Ramadhan Juma
44. Renatus Bernard
45. Richard Mbuya
46. Samwel Moja
47. Seleman Matola
48. Shadrack Nsajigwa
49. Shaffih Dauda
50. Shiza Mapunda
51. Steve Nyenge
52. Wambura Gaspar
53. Zubery Katwila
54. Zulkifri Iddi
55. Zulu Tosiri

Kwa hisani ya : pallangyor.blogspot.com

No comments :

Post a Comment