Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Bi.
Mercy Silla (kulia) akizungumza na Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii
Tanzania (SHIWATA) baada ya ujumbe huo kumtaarifu kuhusu tamasha la
Wasanii litakalofanyika Juni 29, 2013, Mkuranga.

Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii
Tanzania (SHIWATA), Caasim Taalib akikaribishwa ofisini na Ofisa
Utamaduni Utamaduni wa Wilaya ya Mkuranga, Bw. Lucas Kamwavah
alipokwenda kuomba kibali cha Tamasha la Mastaa Chipukizi
litakalofanyika kijiji cha wasanii Mwanzega, Mkuranga Juni 29 mwaka
huu.
MIMEA VAMIZI NI TISHIO KWA IKOLOJIA YA HIFADHI ZETU, BALOZI POLEPOLE
-
Balozi wa Tanzania nchini Cuba Mhe. Humprey Polepole amesema uwepo wa mimea
vamizi katika maeneo yaliyohifadhiwa inaathiri na kubadilisha ikolojia ya
mae...
1 day ago
No comments :
Post a Comment