Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Bi.
Mercy Silla (kulia) akizungumza na Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii
Tanzania (SHIWATA) baada ya ujumbe huo kumtaarifu kuhusu tamasha la
Wasanii litakalofanyika Juni 29, 2013, Mkuranga.

Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii
Tanzania (SHIWATA), Caasim Taalib akikaribishwa ofisini na Ofisa
Utamaduni Utamaduni wa Wilaya ya Mkuranga, Bw. Lucas Kamwavah
alipokwenda kuomba kibali cha Tamasha la Mastaa Chipukizi
litakalofanyika kijiji cha wasanii Mwanzega, Mkuranga Juni 29 mwaka
huu.
RAIS SAMIA AZINDUA MAKAO MKUU YA ULINZI WA TAIFA
-
Taswira ya jengo la Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), lililopo eneo
la Kikombo Mkoani Dodoma mara baada ya kuzinduliwa na Rais wa Jamhuri ya
Mu...
1 hour ago
No comments :
Post a Comment