Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, July 18, 2010

ZAIN YAKABIDHI KOMPYUTA ST. JOSEPH

Mkuu wa shule ya Sekondari ya St. Joseph ya jijini DSM, SR. Edwardina Frederick (kati), akipokea msaada wa kompyuta kutoka kampuni ya simu ya Zain. Wanaokabidhi msaada huo ni mameneja wa Teknohama wa Zain, Asupya Nalingigwa (Kushoto) na Godfrey Masanja (kulia). Jumla ya kompyuta 4 zenye thamani ya Shilingi Milioni sita zimetolewa mwishoni mwa wiki kwa shule hiyo.
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya Sekondari ya St. Joseph iliyopo Salasala jijini DSM wakifurahia moja ya kompyuta kati ya nne zilizokabidhiwa na kampuni ya simu ya Zain kwa shule hiyo. Kulia ni meneja wa Teknohama wa Zain Asupya Nalingigwa. Jumla ya kompyuta 4 zenye thamani ya Shilingi Milioni sita zimetolewa mwishoni mwa wiki kwa shule hiyo.
Mkuu wa shule ya Sekondari ya St. Joseph ya jijini DSM, SR. Edwardina Frederick (kushoto), akiwashukuru mameneja wa kampuni simu ya Zain kwa msaada wa kompyuta walioutoa kwa shule hiyo. Kutoka kulia, wanaosikiliza ni Tunu Kavishe (Meneja Huduma za Jamii), Godfrey Masanja na Asupya Nalingigwa (Mameneja wa Teknohama). Jumla ya kompyuta 4 zenye thamani ya Shilingi Milioni sita zimetolewa mwishoni mwa wiki kwa shule hiyo.

No comments :

Post a Comment