Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, July 7, 2010

ZAINI YAKABIDHI MADAWATI SHULE YA MSINGI KASULU


Mbunge wa Jimbo la Ilala Mussa Azan akiongea na Meneja wa Shughuli za Kijamii wa Zain Tanzania Tunu Kavishe (Kushoto) mara baada ya kukabidhi madawati yaliyotolewa hivi karibuni na kampuni ya simu za mkononi ya Zain Tanzania kwa shule ya msingi ya Kasulu iliyoko katika Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam.

Mwalimu Mkuu wa shule ya msingi ya Kasulu iliyoko katika Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam Moshi Mikidadi (kushoto) akipokea msaada wa madawati mia moja yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni saba kutoka kwa Meneja wa Shughuli za Kijamii wa Zain Tanzania Tunu Kavishe (Kushoto) mara baada ya kukabidhi madawati yaliyotolewa hivi karibuni na kampuni ya simu za mkononi ya Zain Tanzania kwa shule ya msingi ya Kasulu iliyoko katika Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam.

Mbunge wa Jimbo la Ilala Mussa Azan (katikati) akimpongeza Meneja wa shughuli za Kijamii ya Zain Tanzania Tunu Kavishe (kushoto) mara baada ya kukabidhi madawati mia moja yenye thamani ya zaidi ya milioni saba kutoka kampuni ya Zain Tanzania kwa shule ya msingi Kasulu . Makabidhiano hayo yamefanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mwalimu Mkuu wa shule hiyo Moshi Mikidadi.

No comments :

Post a Comment