
Benitez anakabiliwa na msukumo mkubwa toka kwa mashabiki hasa baada ya kupteza nafasi kwa klabu hiyo iliyoshuka daraja, kuondolewa mapema katika ligi ya mabingwa na kufanya vibaya katika ligi kuu ya England.
Licha ya matatizo yake, Mhispania huyo bado anaendelea kupambana kubaki katika dimba la Anfield.
hata hvyo katika mahojiano Purslow amesema Benitez anaungwa mkono na uongozi wa bodi ya klabu hiyo.
Kapteni wa zamani wa Liverpoll, Ronnie Whelan jana alikaririwa akisema anaamini kocha Benitez sasa nafasi yake inalazimika kuchukuliwa na kocha mwingine.
No comments :
Post a Comment