Mashindano ya karate ya kuwania kombe la Muungano yataanza kuvurumishwa April 24 mwaka huu jijini Dar es Salaam.
Phlip Chikoko ni Mwenyekiti wa Chama cha mchezo wa karate Taifa, TASHOKA, amesema mashindano hayo yanafanyika kila mwaka na yanashirikisha wachezaji kutoka mikoa yote inayoshiriki mchezo huo.
Maandalizi ya mashindano hayo yamekamilika ambapo washindi watajinyakulia zawadi mbali mbali vikombe medali.
Aidha amewaomba mashabiki kujitokeza kwa wingi kama wanavyojitokeza katika mashindano ya mpira wa miguu.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment