
Akizungumza na kipindi cha michezo cha radio Times Fm Katibu Mkuu wa chama cha mchezo huo Noel Kiunsi amesema wameamua kupanga mikakati hiyo ili kuinga mkono kauli ya Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete alipokuwa anapokea kifumbo cha malkia Burton kwamba anataka ushindi na si kushindana.
No comments :
Post a Comment