
Nahodha wa mchezo huo Inger Njau amefahamisha kwamba mashindano hayo ni utaratibu wa mashindano ya kila mwaka na yanasimamiwa na chama cha tenisi Tanzania.
Aidha ameongeza kwamba washiriki wa mashindano hayo wanatoka kila pembe ya Tanzania pamoja na majirani zao Kenya na Uganda.
amesema maandalizi ya mashindano hayo yapo tayari ikiwemo zawadi kabambe kutoka kwa mdhamini wa mashindano hayo.
No comments :
Post a Comment