Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, January 17, 2010

GOFU LUGALO WALAMBA ZAWADI ZA ZAIN

Luteni Burure Magige(Kushoto) akimkabidhi simu mshindi wa wiki katika mchezo wa gofu uliodhaminiwa na kampuni ya Zain Ofisa masoko wa Benki ya biashara ya Akiba Moses Namuisa baada ya kuibuka mshindi Lugalo,Dar es Salaam juzi.(Picha na Rajabu Mhamila)Mcheza gofu Sophia Mathias akijitayarisha kupiga mpira wakati wa mashindano ya mchezo huo ya kila wiki yaliyofanyika Lugalo Dar es Salaam juzi, mashindano hayo yalidhaminiwa na Kampuni ya Simu za Mkononi ya Zain.(Picha na Rajabu Mhamila)

No comments :

Post a Comment