Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, April 13, 2010

CHEKA AMTAKA TENA KASEBA

Bingwa wa dunia Francis Cheka amesema ukimya wake una maana kubwa akijiiandaa na pambano lolote litakalokuja mbele yake huku akiweka bayana yu tayari kurudiana na bingwa wa kickboxing wa WKL na WKC Japhet Kaseba.

Cheka amesema yu tayari wakati wowote kurudiana na Kaseba kama atakuwa radhi kushuka naye ulingoni.

No comments :

Post a Comment