Mkurungenzi mkuu wa kampuni ya Zain Tanzania Khaled Muhtad, ofisa uhusiano wa kampuni hiyo Bwana Muganyizi Mutta wakishilikiana na wafanyakazi wa kampuni hiyo katika zoezi la kupanda miti kwenye Barabara ya Bagamoyo Dar es Salaam juzi kiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya uhifadhi wa Mazingira, Kauli mbiu ni ( Panda Miti tunza Mazingira)SIYO MAWASILIANO HATA KAZI ZA KIJAMII ZAIN TUPO
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment