Mkurungenzi mkuu wa kampuni ya Zain Tanzania Khaled Muhtad, ofisa uhusiano wa kampuni hiyo Bwana Muganyizi Mutta wakishilikiana na wafanyakazi wa kampuni hiyo katika zoezi la kupanda miti kwenye Barabara ya Bagamoyo Dar es Salaam juzi kiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya uhifadhi wa Mazingira, Kauli mbiu ni ( Panda Miti tunza Mazingira)
SIYO MAWASILIANO HATA KAZI ZA KIJAMII ZAIN TUPO
MWAKILISHI JAB ASHIRIKI KIKAO KAZI ,UKOKOTOAJI MCHANGO SEKTA YA SANAA
-
Mwakilishi wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Mawazo
Kibamba, akishiriki pamoja na wadau wengine katika kikao kazi cha wataalamu
wa Ufua...
23 hours ago
No comments :
Post a Comment