
katika mahijiano yaliyofanyika nyumbani kwake mjini Luanda, Mfaransa huyo amewaomba wananchi wa Angolan kuwa na subira katika kipindi hiki, na kusema "much work to be done" kuijenga upya timu ya taifa ya Angola.
Kocha huyo wa zamani wa Zambia wiki iliyopita alitajwa kuchukua nafasi ya kocha Manuel Jose, Mreno ambaye aliiongoza Angola katika fainali za mataifa ya Afrika mwezi januari.
Jose aliondoka baada ya tumaini la Angola la kutwaa uchampion wa mataifa ya Afrika kutoweka huku michuano ikipigwa katika ardhi ya nyumbani, walitolewa katika hatua ya robo fainali na timu ya taifa ya Ghana.
No comments :
Post a Comment