Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, April 3, 2010

TIMU ZA VETERANI SAIDIENI VIJANA KUKUZA MICHEZO

Timu ya soka ya WAZEE Sports ya Zanzibar iliyotua JIJINI ikutokea visiwani Zanzibar kwa michezo ya Pasaka kwa mwaliko wa timu ya Survey Veteran imelazimisha sare ya kufungana mabao 3-3 na timu ya TANZANIA STARZ kwenye mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa Leaders Club.

Timu hiyo leo Jumamosi itashuka dimbani kukipiga na timu ya waandishi wa habari za michezo TASWA FC kwenye uwanja wa Posta Kijitonyama kabla ya kukipiga na Mbezi Veteran jioni kwenye uwanja wa IMTU.

Timu hiyo yenye maskani yake huko visiwani Zanzibar itashuka dimbani kucheza na wenyeji wao SURVEY VETERAN hapo Jumapili asubuhi kwenye uwanja wa KINESI urafiki Ubungo.

Survey Veterans iko kwenye maandalizi makali ikijifua kwa mchezo huo ambao ndio utakuwa hitimisho la ziara hiyo ya WAZEE Sports,ziara ya kirafiki ambayo imekuwa ni ya kubadilishana na kutembelean kila mwaka wakati wa Pasaka ambapo mwaka jana Survey Veteran walikwenda Zanzibar.

No comments :

Post a Comment