Mbali na ushindi huo Simba ilikuwa inakabidhiwa kombe lake mara baada ya kutwaa ubingwa wa Ligi kuu ya Vodacom msimu huu bila kufungwa hata mchezo mmoja ambapo imeshinda michezo 19 imedroo miwili na bado ina mchezo mmoja mkononi wa kukamilisha ratiba dhidi ya Mtibwa Sugar ya Manungu Mkoani Morogoro.
RAS MKOA WA PWANI AFUNGUA MAFUNZO YA O&OD
-
Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Pili Mnyema, amefungua kikao kazi cha
mafunzo ya siku mbili kwa vikosi kazi vya utekelezaji wa Mfumo wa Fursa na
Vikwaz...
5 hours ago
No comments :
Post a Comment