Mbali na ushindi huo Simba ilikuwa inakabidhiwa kombe lake mara baada ya kutwaa ubingwa wa Ligi kuu ya Vodacom msimu huu bila kufungwa hata mchezo mmoja ambapo imeshinda michezo 19 imedroo miwili na bado ina mchezo mmoja mkononi wa kukamilisha ratiba dhidi ya Mtibwa Sugar ya Manungu Mkoani Morogoro.
MWAKILISHI JAB ASHIRIKI KIKAO KAZI ,UKOKOTOAJI MCHANGO SEKTA YA SANAA
-
Mwakilishi wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Mawazo
Kibamba, akishiriki pamoja na wadau wengine katika kikao kazi cha wataalamu
wa Ufua...
21 hours ago
No comments :
Post a Comment