Mbali na ushindi huo Simba ilikuwa inakabidhiwa kombe lake mara baada ya kutwaa ubingwa wa Ligi kuu ya Vodacom msimu huu bila kufungwa hata mchezo mmoja ambapo imeshinda michezo 19 imedroo miwili na bado ina mchezo mmoja mkononi wa kukamilisha ratiba dhidi ya Mtibwa Sugar ya Manungu Mkoani Morogoro.
MVUA KUBWA KUTARAJIWA KATIKA MAENEO MBALIMBALI NCHINI NDANI YA SAA 24 ZIJAZO
-
Mamlaka ya hali ya hewa imetoa tahadhari ya uwezekano wa vipindi vifupi vya
mvua kubwa katika saa 24 zijazo, hususan katika baadhi ya maeneo ya mikoa
ya ...
1 day ago
No comments :
Post a Comment