Mbali na ushindi huo Simba ilikuwa inakabidhiwa kombe lake mara baada ya kutwaa ubingwa wa Ligi kuu ya Vodacom msimu huu bila kufungwa hata mchezo mmoja ambapo imeshinda michezo 19 imedroo miwili na bado ina mchezo mmoja mkononi wa kukamilisha ratiba dhidi ya Mtibwa Sugar ya Manungu Mkoani Morogoro.
JARIBIO LA KWANZA LA ZAO LA VIAZI MVIRINGO MKOANI DODOMA LAONYESHA
MAFANIKIO MAKUBWA
-
Dodoma
Jaribio la kwanza la Mbegu ya viazi mviringo lililotafitiwa na Taasisi ya
Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) limeonesha mafanikio makubwa mkoani
D...
16 hours ago
No comments :
Post a Comment