Mkuu wa wilaya ya Lushoto Sophia Mjema (katikati) akimkabidhi Juma kibwana mwanafunzi wa shule ya Sekondari ya Vugabazo iliyopo wilayani humo wiki hii. Vitabu vyenye thamani ya Shilingi milioni 2 ambavyo vimetolewa na kampuni ya simu za mkononi ya Zain kupitia mradi wake wa “Build Our Nation”. Kwa ajili ya shule hiyo ya Vugabazo na shule ya sekondari ya Kisaba mwishoni mwa wiki. Kushoto ni Meneja Uhusiano wa Zain, Muganyizi Mutta.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment