
Mwandaaji wa tamasha hilo Godfrey Madenge amesema Mbunge wa Viti maalum Chadema Halima mdee pamoja na bingwa wa dunia wa kickboxing wa WKL na WKC Japhet Kaseba wanatarajiwa kuwa wageni rasmi.
Aidha amesema lengo la kuandaa tamasha hilo ni kutoa burudani pamoja na kuibua vipaji vya soka kwa vijana.
Amesema vijana wa maeneo ya boko na Tegeta ni wapenda michezo lakini hakuna mtu ambaye anaweza kuwaandalia michezo hivyo ameona ni bora kuwapa furaha ambayo ataiendeleza kila mwaka.
No comments :
Post a Comment