Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Reli Tanzani (TRAWU) Bakari Kiswara (kulia) na Katibu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi 'TUCTA' Bw.Nicholaus Mgaya wakiwa wamebeba jeneza la mwili wa marehemu aliyekua Katibu Mkuu wa (TRAWU) Bw. Silvester Rwegasira kabla ya kumuaga TAZARA Dar es salaam
MIMEA VAMIZI NI TISHIO KWA IKOLOJIA YA HIFADHI ZETU, BALOZI POLEPOLE
-
Balozi wa Tanzania nchini Cuba Mhe. Humprey Polepole amesema uwepo wa mimea
vamizi katika maeneo yaliyohifadhiwa inaathiri na kubadilisha ikolojia ya
mae...
1 day ago
No comments :
Post a Comment