Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, April 12, 2011

WASHINDI WA PROMOSHENI YA BARCLAYS WAPATA ZAWADI ZAO



Mkazi wa Jiji la Dar es Salaam, Hemed Juma Mrisho akitoa tiketi
ili kumpata mshindi wa droo ya saba ya promosheni ya akaunti za
Barclays Premier League.Mkazi wa Mwanza Abdallah Shengelo alishinda
tiketi ya kwenda Uingereza yeye na mshilika wake kushuhudia moja ya
mchezo ya huko inayoendelea. Kushoto ni Mkurugenzi wa Wateja Binafsi
wa Mashariki na Afrika Magharibi Zahid Mustafa. Mkaguzi wa Michezo wa
bodi ya kubahatisha Bakari Maggid na Meneja masoko wa Barclays Rahma
Gemina.
Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa Barclays wa Mashariki na Afrika
Magharibi Zahid Mustafa (kushoto) akikabidhi mfano wa tiketi yakwenda
na kurudi Uingereza kwa Hemed Juma Mrisho mmoja wa Washindi wa
promosheni inayoendelea ya akaunti za Barclays Premier League.
Katikati ni Meneja masoko wa Barclays Rahma Gemina na mke wa mshindi
huyo Halima Mbwana

No comments :

Post a Comment