Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, April 14, 2011

Wasanii wa Bongo Filamu watinga Mjengoni Dodoma





Masupastaa wa filamu nchini Tanzania wakiongozwa na muigizaji Jacob Steven maarufu kama JB walishiriki kipindi cha maswali na majibu cha mkutano wa tatu kikao sita cha Bunge la Jamhuri ya Muungano Tanzania.
Wasanii hao ambao walikuwa wageni wa klabu ya mikchezo ya Bunge,walitambulishwa kwa wabunge na spika Anne Makinda ambaye alisema kuwa wasanii hao wamefika bungeni kueneza ujumbe wa amani.
Spika Makinda aliwashukuru wasanii hao kwa nia yao njema na kuwakaribisha Bungeni.
Waliotambulishwa jana ni pamoja na JB mwenyewe, Steven Kanumba, Mchekeshaji Steven Nyerere, Jackline Wolper, Singo Mtambalike kama Ritchie na Vicent Kigosi maarufu Ray.
Wasanii hao ambao wameanzisha klabu yao ya Movie wanatarajia kukipiga na timu ya wabunge mwishoni mwa wiki.

No comments :

Post a Comment