Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, April 3, 2011

kongamalo la katika mpya chuo kikuu





Mwenyekiti wa Kongamano la Pili la Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dr. Kitila Mkumbo (katikati) akiwa kwenye meza kuu wa watoa Mada katika Kongamano hilo ambao ni Jaji Mkuu Mstaafu,Barnabas Samata (kushoto) pamoja na Ndg. F. Kiwinga.Mada kuu ya leo ilikuwa ni Kujadili hukusu Maudhui na Misingi ya Katiba Mpya.Kongamano hili limemalizika mchana huu katika ukumbi wa Nkuruma ndani ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Dr. Sengondo Mvungi wa NCCR-Mageuzi nae alizungumza katika Kongamano hilo lililokuwa likijadili mada ya Maudhui na Misingi ya Katiba Mpya katika nchi yetu hii.
Naibu Katibu Mkuu wa CUF-Tanzania Bara,Julius Mtatiro akizungumza katika Kongamano hilo la Katiba Mpya lililomalizika mchana huu katika ukumbi wa Nkuruma,Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Mwasisi wa Mageuzi Nchini na Mwanachama wa CHADEMA,Mabere Marando akizzungumza katika Kongamano hilo.
Kiongozi wa Chama cha UDP,John Cheyo akizungumza katika Kongamano hilo.
Mmoja wa Wadau wa Kongamano Hilo akichangia Mada zilizokuwa zikitolewa katika Kongamano hilo mchana huu.

No comments :

Post a Comment