Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, April 22, 2011

MSUNGU AZAWADIWA LUNINGA INCHI 40



Meneja Masoko wa Kampuni ya Coca-Cola Tanzania, Christina Maina (katikati), akimkabidhi Luninga aina ya Soni, Mwandishi wa habari wa Kampuni ya Guardian, Renatha Msungu, aliyoshinda katika mchezo wa bahati nasibu ya papo kwa papo, iliyochezwa na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali kwenye uzinduzi wa kampeni kubwa ya masoko inayoitwa 'Open Happiness' uliofanyika Dar es Salaam leo. Kushoto ni Meneja Mkazi wa Kampuni hiyo, Dimeji Olaniyan

No comments :

Post a Comment