Katibu Mkuu wa African Union People's Empowerment Fondition, Bw.Mgesi Juma (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari Dar es salaam jana, kuusu vifo vya akina mama wajawazito kuwa vinaweza fasiliwa kuwa ni vifo vitokanavyo na ujauzito. kulia ni Ofisa Habari wa Tume ya Kikristu ya Huduma za Jamii Bw.Renatusi Sona
MIMEA VAMIZI NI TISHIO KWA IKOLOJIA YA HIFADHI ZETU, BALOZI POLEPOLE
-
Balozi wa Tanzania nchini Cuba Mhe. Humprey Polepole amesema uwepo wa mimea
vamizi katika maeneo yaliyohifadhiwa inaathiri na kubadilisha ikolojia ya
mae...
1 day ago
No comments :
Post a Comment