Katibu Mkuu wa African Union People's Empowerment Fondition, Bw.Mgesi Juma (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari Dar es salaam jana, kuusu vifo vya akina mama wajawazito kuwa vinaweza fasiliwa kuwa ni vifo vitokanavyo na ujauzito. kulia ni Ofisa Habari wa Tume ya Kikristu ya Huduma za Jamii Bw.Renatusi Sona
WAKAZI WA DAR ES SALAAM WATAKIWA KUTUMIA FURSA YA UPASUAJI WA MABUSHA BURE
-
*Wizara ya Afya imeanza kambi maalum ya siku 30 ya upasuaji na uchunguzi
wa magonjwa ya mabusha na matende kwa wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam.*
*Kamb...
15 hours ago
No comments :
Post a Comment